Ni Yanga na Kiluvya United leo

Timu gani itasonga mbele kwa kuingia hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho kati ya Young Africans na Kiluvya United? Majibu ya swali hilo yatakatikana leo baada ya mchezo kati ya timu hizo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS