Wachezaji wa Prisons wakishangilia ushindi walioupata dhidi ya Simba katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, ambapo Prisons ilishinda 2-1
Timu ya Prisons "Wajelajela" ya jijini Mbeya imesema iko tayari kwa ajili ya mechi dhidi ya Simba, itakayopigwa kesho JUmamosi katika dimba la Taifa dar es Salaam