Sina mpango wa kujiunga QS - Timbulo

Timbulo

Msanii Timbulo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘mfuasi’ amesema hawezi kujiunga katika 'Label' ya QS Mhonda kwa kuwa hana imani nayo kama wanafanya biashara ya muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS