Siasa ni shule isiyokuwa na mwisho - Kikwete

Ridhiwan Kikwete akiongea na Edward Lowassa katika uwanja wa Taifa

Mbunge wa Chalinze mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwan Kikwete, amesema siasa ni shule ambayo haina mwisho na ndiyo maana anaendelea kujifunza mengi kutoka kwa wanasiasa wenzake husani waliomtangulia bila kujali chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS