Kamanda Sirro kumaliza utata kuhusu Roma
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam ameahidi kuzungumzia suala la kutoonekana kwa wasanii Roma Mkatoliki na Moni wa Centrozone tangu usiku wa kuamkia jana Alhamisi walipochukuliwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusipojulikana.

