Irene Uwoya ataja kilichomkosesha ubunge CCM Irene Uwoya Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefafanua sababu za kutopitishwa na chama chake cha CCM kuwa mbunge wa Viti Maalum vya wanawake, na kusema kuwa kilichomuangusha ilikuwa ni kura za Rais kuwa chache. Read more about Irene Uwoya ataja kilichomkosesha ubunge CCM