Irene Uwoya ataja kilichomkosesha ubunge CCM

Irene Uwoya

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefafanua sababu za kutopitishwa na chama chake cha CCM kuwa mbunge wa Viti Maalum vya wanawake, na kusema kuwa kilichomuangusha ilikuwa ni kura za Rais kuwa chache.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS