Mawakala 8 CHADEMA wakamatwa

Mbunge wa jimbo la Tarime vijijini Mh. John Heche amesema jumla ya mawakala 8 wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wamekamatwa kwenye uchaguzi mdogo wa kata ya Nyabubinza wilayani Maswa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS