Guardiola akiri maajabu

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola, amesema timu yake imeonesha ushindani wa ajabu wakati ikihangaika kusawazisha na kuongeza bao la ushindi kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka nchini England jana dhidi ya Huddersfield.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS