Kikwete atoa neno kuhusu Rais Magufuli Rais mstaafu wa serikali ya awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuwezesha elimu bure. Read more about Kikwete atoa neno kuhusu Rais Magufuli