Nyota wawili wa Azam FC kurejea

Nyota wawili wa klabu ya Azam FC, Shaaban Idd na Joseph Kimwaga, waliokuwa majeruhi  wanatarajiwa kurejea dimbani Januari mwakani wakati timu hiyo itakuwa inashiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS