CCM yatoa kauli yake kuhusu kifo cha mwanafunzi
Chama cha Mapiduzi CCM kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi na msemaji wa chama hiko Humphrey Pole Pole, kimetoa msimamo wake juu ya kifo cha mwanafunzi aliyeuawa na polisi, na watu kuinyooshea vidole serikali ya CCM.

