CCM yatoa kauli yake kuhusu kifo cha mwanafunzi

Mwanafunzi Aqulina Akwilini Baftaha aliyeuawa na poilisi

Chama cha Mapiduzi CCM kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi na msemaji wa chama hiko Humphrey Pole Pole, kimetoa msimamo wake juu ya kifo cha mwanafunzi aliyeuawa na polisi, na watu kuinyooshea vidole serikali ya CCM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS