Silaha za Simba zitakazosafiri leo Klabu ya soka ya Simba leo inatarajiwa kuondoka nchini leo kuelekea nchini Djibouti kwaajili ya mchezo wake wa marudiano hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika, ambapo leo wametangaza kikosi kitakachosafiri. Read more about Silaha za Simba zitakazosafiri leo