Brazil yaweka rekodi kwenye soka

Mashabiki wa soka nchini Brazil jana wameshuhudia tukio lisilo la kawaida michezoni baada ya wachezaji tisa kuoneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa 'Derby' kati ya  timu za Vitoria na Bahia, baada ya kutokea vurugu kuelekea mwisho wa mechi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS