Lulu Diva kufata nyayo za Michael Jackson?

Muimbaji Lulu Diva amedai kuwashangaa watu wanaomsema kwamba amebadili muonekano kwa kutumia dawa za kichina na kusema kwamba yeye atakuwa siyo mtu wa kwanza kufanya hivyo na kwamba hata mwimbaji maarufu duniani Michael Jackson aliwahi kujibadilisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS