Ajali yaua Kagera

Basi la abiria Kampuni ya Fikoshi Investment linayofanya safari zake kati ya Bukoba na jijini Mwanza limepata ajali katika eneo la Nkwenda Wilayani Kyerwa mkoani Kagera, na kusababisha kifo cha kondakta wa basi hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS