Snura atoa siri nzito ya kibenten chake
Msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye pia ni muigizaji wa filamu, Snura Mushi, amefunguka juu ya kijana anayeonekana naye mara kwa mara huku wengi wakiamini kuwa ni kiben ten chake, na kusema suala hilo halina ukweli.

.jpg?itok=RmaHADDY)