Yanga yafunguka kuhusu Kamusoko
Klabu ya soka ya Yanga kupitia msemaji wake Dismas Ten imefunguka na kudai hakukuwa na taarifa zozote zilizotolewa kuwa kiungo wao Thabani Kamusoko ataweza kurudi dimbani bali taarifa iliyotolewa ni ya kupona majeraha aliyekuwa nayo.

