Vanessa Mdee afunguka kuvunjwa moyo

Malkia wa Bongo Fleva anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi, Vanessa Mdee amefunguka na kudai anamshukuru Mungu kwa kupokelewa vizuri albamu ya 'Money Monday' mpaka sasa japokuwa kuna baadhi ya watu wanataka kumvunja moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS