Waziri Mkuu apiga marufuku wachezaji mpira

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Elimu wahakikishe wanafunzi wanaoshiriki mashindano ya UMISETA ni wale waliovuka katika ngazi ya shule, kata, wilaya na mkoa, ambao wote ni wanafunzi halali wa shule na marufuku kuchezesha mamluki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS