Rais Trump atofautiana na nchi washirika

Mazungumzo katika mkutano wa mataifa yalioendelea kiviwanda duniani G7 yanayofanyika nchini Canada yameshindwa kutatua tofauti zilizopo kati ya rais wa Marekani Donald Trump na viongozi wa mataifa mengine wanachama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS