Sababu za Mtatiro kuwa kiongozi CUF
Baada ya Jumuiya za Vijana za CUF (JuviCUF) wilaya za Dar es Salaam, kumshambulia Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa chama hicho, Julius Mtatiro na kwamba cheo alichonacho hakijulikani ndani ya CUF, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF, Mbarala Maharagande amepangua tuhuma hizo -