Azam FC watwaa ubingwa na kuifikia rekodi ya Simba

Wachezaji wa Azam FC na Simba kwenye moja ya matukio ya mchezo wa leo wa fainali ya Kombe la Kagame.

Klabu ya soka ya Azam FC, imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame baada ya kuwafunga Simba mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliomalizika usiku huu kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS