Ligi daraja la kwanza kuchezwa kwa staili mpya

Moja ya mechi za ligi daraja la kwanza msimu uliopita

Katika juhudi za TFF kuboresha ushindani kwenye ligi kuu, ligi daraja la kwanza na la pili nchini, kamati ya mashindano ya shirikisho hilo imepitisha mfumo mpya wa uendeshaji wa ligi dadaraja la kwanza (FDL) kuanzia msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS