Ligi daraja la kwanza kuchezwa kwa staili mpya
Katika juhudi za TFF kuboresha ushindani kwenye ligi kuu, ligi daraja la kwanza na la pili nchini, kamati ya mashindano ya shirikisho hilo imepitisha mfumo mpya wa uendeshaji wa ligi dadaraja la kwanza (FDL) kuanzia msimu ujao.