“Vyakula vya harusini vichunguzwe”-Waziri Ummy

Waziri wa afya, Ummy Mwalimu (kulia) akipata maelezo juu ya sukari zinazopimwa ubora wake kutoka kwa Mkuu wa Maabara wa TFDA Kanda ya Ziwa Salum Kindoli alipotembelea kukagua shughuli za ujenzi wa jengo la Mamlaka hiyo jijini Mwanza.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ametoa agizo kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na Wizara ya Afya, Kitengo cha Afya ya Mazingira, kuangalia ni Mamlaka ipi inajukumu la kutazama vyakula vinavyoliwa kwenye maharusi, ili kulinda afya za walaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS