Kenyatta afanya mabadiliko, mwanamke amkosha

Rais Uhuru Kenyatta akimpongeza Meja Jenerali Fatuma Ahmed baada ya uteuzi Ikulu.

Rais Uhuru Kenyatta leo amemteua na kumtangaza Meja Jenerali Fatuma Ahmed kuwa  Msaidizi wa Mkuu wa Majeshi katika kitengo cha kusimamia wafanyakazi na vifaa na uchukuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS