JKU wamaliza utata wa 'Fei toto' kusaini Yanga

Kushoto ni mchezaji Feisal akitambulishwa Yanga na kulia ni Feisal akitambulishwa Singida United na Mkurugenzi Festo Sanga.

Baada ya mchezaji Feisal Salum Abdalah maarufu 'Fei Toto' wa mabingwa wa soka visiwani Zanzibar JKU, kusaini timu mbili za Singida United na Yanga hapo jana, hatimaye JKU wameeleza kwanini nyota huyo alifanya hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS