"Atakuwa Mwanasiasa dhaifu sana" Mch. Msigwa

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji. Peter Msigwa

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji. Peter Msigwa ameweka wazi kwamba kama kuna mwanasiasa atakayekuwa anashindwa kufanya siasa kwa sababu ya kuwepo na sheria za kufanya mikutano basi mtu huyo atakuwa mwanasiasa dhaifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS