Rais Magufuli atumbua, kisa kikokotoo Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Dkt. Irene Isaka. Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Dkt. Irene Isaka. Read more about Rais Magufuli atumbua, kisa kikokotoo