Watanzania wanne waenda China kuiwakilisha nchi

Waogeleaji hao wakiwa na familia zao na viongozi kwenye picha ya pamoja kabla ya kuondoka.

Waogeleaji wanne wameondoka nchini kuelekea nchini China, katika mashindano ya dunia ya kuogelea yatakayofanyika nchini China kuanzia Desemba 11 mpaka 16 huko 'Hangzhou Olympic and International Expo Center'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS