Zitto Kabwe amwangukia Rais Magufuli

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe.

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe amemuomba Rais Dkt. Magufuli kusikiliza pia maombi yao kuhusiana na nyongeza ya mshahara pamoja na muswada wa vyama vya siasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS