Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe.
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe amemuomba Rais Dkt. Magufuli kusikiliza pia maombi yao kuhusiana na nyongeza ya mshahara pamoja na muswada wa vyama vya siasa.