CCM yatangaza kuwatoa kifungoni vigogo wake wanne Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Chama cha Mapinduzi CCM kimewafungulia baadhi ya makada wake waliokuwa ni wenyeviti wa mikoa wa chama hicho ambao walifungiwa kwa tuhuma za kukisaliti chama. Read more about CCM yatangaza kuwatoa kifungoni vigogo wake wanne