Rais Magufuli amtumia salamu za rambirambi Mkapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mh. Benjamini Mkapa kufuatia kifo cha Makamu wa chuo hicho Prof. Egid Beatus Mubofu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS