Golikipa wa Yanga alazwa Hospital baada ya kuumia

Kabwili akiwa amelazwa

Golikipa ya wa Yanga Ramadhani Kabwili, amelazwa katika hospitali ya Selian jijini Arusha akifanyiwa vipimo zaidi kufuatia maumivu ya nyonga aliyopata leo kwenye mechi ya ligi kuu Tanzania bara dhidi ya  African Lyon iliyochezwa jijini Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS