Simba yataja masharti ya mkataba wa kocha Aussems Kocha Patrick Aussems Kufuatia gumzo kubwa mitandaoni baada ya Simba kutolewa katika mashindano ya SportPesa, uongozi wa klabu hiyo umeweka wazi juu ya makubaliano ya mkataba wa kocha mkuu, Patrick Aussems. Read more about Simba yataja masharti ya mkataba wa kocha Aussems