Kamera zamuumbua shabiki mtukutu wa Arsenal

Mashabiki katika uwanja wa Emirates

Klabu ya  soka ya Arsenal imethibitisha kuwa kwa msaada wa kamera za usalama 'CCTV Camera' katika uwanja wa Emirates, wamefanikiwa kumbaini shabiki ambaye alimpiga na chupa ya maji kichwani mchezaji Dele Alli wa klabu ya Tottenham.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS