Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP, Agustino Mrema na Rais Magufuli
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP na Mwenyekiti wa bodi ya Parole amesema kuwa hawezi kumuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa kumfuata ndani ya chama chake bali atafanya hivyo akiwa upinzani.