Mrema aelezea mpango wa kurudi CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP, Agustino Mrema na Rais Magufuli

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP na Mwenyekiti wa bodi ya Parole amesema kuwa hawezi kumuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa kumfuata ndani ya chama chake bali atafanya hivyo akiwa upinzani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS