Tanzania yashauriwa kuiga Congo

Rais Mteule wa Congo, Felix Tshisekedi

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka asasi za kiraia, Makanisa pamoja na wanaharakati wote kuungani ili kuindoa CCM madarakani mwaka 2020 katika uchaguzi mkuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS