Viwanja, Hospitali na Hoteli zakaguliwa

Uwanja wa taifa.

Mtendaji Mkuu wa kamati ya ndani (Local Organizing Commitee), inayosimamia maandalizi ya michuano ya AFCON U17 inayotarajiwa kufanyika nchini mwaka huu, Leslie Liunda, amesema maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo yapo katika hatua nzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS