"Lolote linaweza kutokea ofisi ya IGP" - Msangi

Insipekta Jenerali wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchi, Ahmed Msangi amesema lolote linaweza kutokea kwenye ofisi ya IGP baada ya utenguzi uliofanywa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS