"Lolote linaweza kutokea ofisi ya IGP" - Msangi Insipekta Jenerali wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro Msemaji wa Jeshi la Polisi nchi, Ahmed Msangi amesema lolote linaweza kutokea kwenye ofisi ya IGP baada ya utenguzi uliofanywa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola. Read more about "Lolote linaweza kutokea ofisi ya IGP" - Msangi