Tamko la TRA kwa wanaoweka matangazo kwenye magari
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeeleza juu ya uwepo wa ulazima wa ulipaji kodi kwa watumiaji wa vyombo va usafiri nchini ambao wamekuwa wakiweka matangazo kwenye magari ambapo wamekuwa wakitembea maeneo mbalimbali ya nchi.

