Samia atoa kazi maalumu wilaya ya Tarime

Makamu wa Rais, Samia Suluhu

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Tarime, aliyeapishwa na Rais Magufuli siku ya jana kuhakikisha anazifanyia kazi mila na desturi za huko Tarime haswa zile zinazowakandamiza wanawake na watoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS