Shule ya Anna Mkapa yatuhumiwa kwa wizi
Shule ya Sekondari ya Anna Mkapa iliyopo Kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi imebainika kufanya udanganyifu kwa kushiriki kuhujumu miundombinu ya maji kwa mamlaka ya Majisafi na Mazingira mjini Moshi (MUWSA) kinyume cha sheria.

