Yanga wamkana Beno, atinga na mwanasheria wake Kakolanya Klabu ya Yanga imeeleza kuwa inashangazwa na kitendo cha Kakolanya kutoonekana klabuni hapo wakati alilipwa stahiki zake lakini yeye akasisitiza kuwa anataka kuvunja mkataba ili awe huru. Read more about Yanga wamkana Beno, atinga na mwanasheria wake