Ommy Dimpoz afunguka kuhusu kifo chake

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz.

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amerejea nchini akitokea kwenye matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu alipokuwa amelazwa nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS