Kisa Lissu, Ndugai 'ashambuliwa'

Mbunge Tundu Lissu

Baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kueleza kwamba Bunge limeshamlipa Tundu Lissu Sh250m, kati ya hizo Sh207.8m ni stahiki zake na Sh43m ni mchango wa matibabu ya mbunge huyo, wabunge na viongozi wa CHADEMA wamecharuka na kueleza kwamba pesa hizo ni mishahara yake na siyo hisani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS