Kilio cha Azam FC kusikilizwa na CAF

Kocha wa Azam FC

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limesema litafanyia kazi mapendekezo ya kubadilishwa mfumo wa usajili barani Afrika ili kuwepo na dirisha la pamoja tofauti na sasa ambapo kila nchini ina muda wake wa usajili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS