Ndugai aitetea kauli yake kuhusu malipo ya Lissu Spika Job Ndugai Spika wa Bunge, Job Ndugai amedai kuwa alinukuliwa vibaya kuhusu malipo ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu. Read more about Ndugai aitetea kauli yake kuhusu malipo ya Lissu