Akamatwa na polisi kwa kutaka kumuuza mwanaye

Gari la Polisi nchini Kenya

Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Sharon Achieng (23) kutokea nchini Kenya, amekamatwa na polisi katika kituo cha Siaya  kwa kosa la kutaka kumuuza mwanaye wa kiume aliye na umri miaka mitano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS