Akamatwa na polisi kwa kutaka kumuuza mwanaye Gari la Polisi nchini Kenya Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Sharon Achieng (23) kutokea nchini Kenya, amekamatwa na polisi katika kituo cha Siaya kwa kosa la kutaka kumuuza mwanaye wa kiume aliye na umri miaka mitano. Read more about Akamatwa na polisi kwa kutaka kumuuza mwanaye