Tuzo ya Mkwasa ya kocha bora VPL yazua mzozo

Kocha bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Disemba, Charles Mkwasa.

Jana Januari 7, 2020 Shirikisho la Soka Tanzania TFF limetoa tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mwezi Disemba pamoja na tuzo ya mchezaji bora wa mwezi kwa mwezi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS