Bashiru Ally adai Maalim Seif anapotoshwa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema Mshauri Mkuu wa ACT - Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, kuna kauli ambazo amezieleza hazikutokea kwenye ziara yake anayoifanya hivi sasa Visiwani Zanzibar, ambapo alidai kumeandaliwa mpango wa kuhakikisha yeye hagombei