Billnass ataja kinachomjia akimsikia Nandy Billnass na Nandy wakiwa pamoja. Msanii anayetamba na ngoma ya mafioso Billnass, ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa hajaona post ya Nandy ambayo aliiweka katika mtandao wa Instagram ikisema anataka kuwa mke wa mtu "Wifey to be". Read more about Billnass ataja kinachomjia akimsikia Nandy