Bashiru Ally adai Maalim Seif anapotoshwa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema Mshauri Mkuu wa ACT - Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, kuna kauli ambazo amezieleza hazikutokea kwenye ziara yake anayoifanya hivi sasa Visiwani Zanzibar, ambapo alidai kumeandaliwa mpango wa kuhakikisha yeye hagombei

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS